M23 yaridhia kuondoka kwa kikosi cha SADC mashariki mwa DRC

M23 yaridhia kuondoka kwa kikosi cha SADC mashariki mwa DRC

Waasi wa M23 wamekubaliana na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC, juu ya kuondoka kwa vikosi vyake kutoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikiwa ni siku chache baada ya wakuu wa majeshi wa Afrika Kusini, Zambia, Malawi na Tanzania kukutana  na mkuu wa jeshi la M23 Sultani Makenga katika mji wa Goma.

Pande zote mbili zimekubaliana, kwamba M23 itawezesha kuondoka mara moja kwa askari wa kikosi hicho kupitia uwanja wa ndege wa Goma, ambao kwa sasa hautumiki kwa sababu ya kuharibiwa wakati wa mapigano.

 

Related Articles

Visitor Counter

000347
Today: 2
Yesterday: 2
This Week: 4
Last Week: 32
This Month: 2

Opening Hours

  • Monday: 8.30am–6.30pm
  • Tuesday: 10.00am–8.00pm
  • Wednesday: 8.30am–6.30pm
  • Thursday: 8.30am–7.00pm
  • Friday: 8.30am–3.00pm
  • Saturday: 8.30am–2.00pm
  • Sunday: 8.30am–2.00pm

Contact Us

Kanani A Road, Mumasama Street,

P.O.BOX, 137

Ngara, Tanzania

Mobile:  +255 744 172 741

Email: info@ishizwemedia.co.tz